المدة الزمنية 4:22

Mapishi ya katai kwa kutumia viungo vitatu tu tamu sana | Vileja vitamu sana kwa njia rahisi

بواسطة Mapishi rahisi
125 007 مشاهدة
0
2.1 K
تم نشره في 2019/06/01

#katai #mapishirahisi #vileja INGREDIENTS: 2 cups flour 1 cup powdered sugar 1 tsp vanilla 1 cup oil Jinsi ya kupika chapati laini za kusukuma bila kukanda sana | How to make soft chapati: /watch/cW2lQ20BkA7Bl jinsi ya kutengeneza mahamri/maandazi laini ya iliki: /watch/Epc_eZuxzWWx_ jinsi ya kupika viazi vya nazi | viazi ulaya | mbatata | viazi mviringo vya nazi | mapishi: rahisi/watch/wIeTE2vm7NGmT Manda ya kufungia sambusa | Jinsi ya kutengeneza kaki / manda za kufungia sambusa nyumbani: /watch/w8hCeUIh1o5hC Jinsi ya kutengeneza ice cream nyumbani bila kifaa maalum ya icecream | strawberry ice cream recipe: /watch/IgzzOuY1vQY1z Jinsi ya kutengeneza biriani/biriyani nyumbani | Jinsi ya kupika biriani ya kuku | chicken biryani: /watch/g84GoeqG3HhGG Jinsi ya kupika Pilau la kuchambuka kwa njia rahisi | Easy pulao recipe | Mapishi Rahisi: /watch/UTar1JH7wVP7r Jinsi ya kuoka keki bila: oven/watch/Iq5g-IjcGP8cg Mapishi ya katlesi za samaki | Mapishi rahisi: /watch/App5EbTCzpvC5 JINSI YA KUTENGENEZA DONASI TAMU NA LAINI KWA NJIA RAHISI - Mapishi Rahisi: /watch/I8zwr5f4R2J4w Jinsi ya kutengeneza katlesi za mayai/ egg chop - Mapishi rahisi: /watch/shEOmZL2-Sp2O Sambusa za nyama | Jinsi ya kutengeneza sambusa za nyama: /watch/onpS-h35-wH5S Jinsi ya kutengeneza juisi ya maembe na tangawizi tamu sana na nzuri kwa afya: /watch/YxIT9MOY4R1YT FOLLOW US ON: Facebook: https://www.facebook.com/mapishirahisi Instagram: https://www.instagram.com/mapishirahisi

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 113
  • @
    @munirauweso24285 years ago Maashallah you're extremely amaizing 1
  • @
    @goldensparrow15075 years ago Mashallah kitu safi. Tuletee barfin zile za kufanywa na vidude zinatoka shape nzuri.. 6
  • @
    @habibamahamed55875 years ago Mashallallah thanks l have learnt something new bless u dear
  • @
    @sumayyamumbi4 months ago thank you siz I have tried they are so sweet 1
  • @
    @muniraabdul2055 years ago I tried them and they were perfect.thanx so much mummy. Mwenyezi Mungu akuzidishie. Ameen
  • @
    @nigistsheikh78192 years ago Shukran san madarasa yako mazuri . Allah akulipe kila la hapa hatuweki baking powder? 2
  • @
    @khairunnoormohamed50313 years ago Leo nime jaribu kufanya khatai my hubby and my kids there likes Mashallah is very nice Jazakallah for recipe
  • @
    @abudybader67932 years ago Shukraan hbbty mungu akubariki yarabby
  • @
    @zznbnuru85104 years ago JAZAKALLAH KHEIR my dear,I have tried this reciepe today and they were Good Mashaallah,Have shared with my family members and they loved them,I have shared your recipe too,JAZAKALLAH KHEIR😘
  • @
    @binthamoudshariff54925 years ago MashaAllah. Je ukitumia siagi au samli inafaa
  • @
    @fatumagamsh55053 years ago Ndo natak kujarib Sasa naona watu 😋😋😋😋😋 sipat picha aiseee mashaallah
  • @
    @selmezahor469611 months ago Shukran jee kama hupendi kuwek vyanila jee unawez ukawek ilik tu
  • @
    @asiasalum55134 years ago Shukran, na tufunze vakula va chumvi pmj na vipimo va balfin
  • @
    @hafsahassani71564 years ago Amaizing san naomba mtuletee kokotende
  • @
    @mariamissaahmed76755 years ago Nzuri na rahisi Shukran sana Allah akubariki
  • @
    @samirbazaar22905 years ago Shukran Sana ka recipe zako mamy najifunza mengi 3
  • @
    @hayatia34415 years ago This is loved Somali sweet called Icun specially in Eid 3
  • @
    @SalmaAlly-sl1eo8 months ago assalama alaykum vipi hali, habibty ety huo unga unakuwa kiac gani kuipima kwa mezani?
  • @
    @mauricealgorithm73205 years ago This is my today breakfast.Thanks lady. 2
  • @
    @zuwenakabesela51505 years ago Ahsante saaaaana dada Mwenyezi Mungu aiweke miaka yote inshaallah 1
  • @
    @MrsA1796 months ago Can you tell us are we using baking or plain
  • @
    @mariamissa25264 years ago Asalam alykum, mm naomba kuelekzwa juu ha kuset moto hapo ulitumia moto wa chin tu
  • @
    @amnemohammad73674 years ago Assalam aleikum I tried this recipe is it normal the katai ziwe na cracks
  • @
    @samirbazaar22905 years ago Masha Allah leo wakwanza usishangae mm Ni mwanamke mamy
  • @
    @sheilasmith98823 years ago Kma cna hiyo karatac naeza kufanyaje?na oven yngu ni ya zamani ktk moto nawasha moto wa chini au juu?
  • @
    @mwanaishambili2415 years ago Mashaallah zury lkn zukari kiac ckujuwa
  • @
    @annem.w48784 years ago Naulizaje, huo Moto Kwa oven ni juu na chini au chini tu? 1
  • @
    @prettyisha83604 years ago MashaAllah ila kama ni mwanzo kupika zachomwa VP kwa mafuta au wafunikia makaa???
  • @
    @nooromar87434 years ago Km Huna sukar ilosagwa waweza Tumia sukar nyeupe?
  • @
    @rachelpesha6524 years ago tray uliipaka mafuta kabla ya kuweka baking paper??
  • @
    @rachelpesha6524 years ago hizo 2 cup za flour ni nusu au kwa sisi tusio na measure?
  • @
    @rachelpesha6524 years ago kama sina baking paper je haziwezi kutoka??
  • @
    @sadaawadhi984 years ago Habbty kama sina sukari ya kusaga naweza kutumia sukar ya kawaida???
  • @
    @amhankham63485 years ago Kwa mfano huna rangi je nandy orange inaweza kufaa badala ya rangi?
  • @
    @fahimhajialadina7425 years ago Aslm I was asking some peoples puts baking powder kwa katai huwa yasaidia nini
  • @
    @supamaridadi39004 years ago Pia waeza kutia katai color yoyote Leta recipe nyingi nyinyi Sana
  • @
    @mariamj43585 years ago Je waweza kueka blueband na bakin soda??
  • @
    @badriaahmed24754 years ago Asalam aleykum naomba kuona kikombe ulicho tumia hivi vipimo au kikombe chochote na unafanya kipimo chicho
  • @
    @cimraanmuktar41005 years ago This is super duper easy thanx sis. What can l substitute with vanilla powder.
  • @
    @timafarid41894 years ago Zangu zinaungua. Alafu skari naeza kusaga ya kawaida.