المدة الزمنية 11:24

SUGU: Please Don't Shut Me Tubishane kwa Hoja na Siyo Bunduki

بواسطة Global TV Online
452 796 مشاهدة
0
2.2 K
تم نشره في 2017/11/09

Subscribe /c/uwazi Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi, amemshukuru spika wa Bunge, Job Ndugai, kwa kuwahakikishia wabunge wote kuwa kwa sasa wanapohudhuria vikao vya Bunge mjini Dodoma watakuwa salama, halitatokea tukio kama lililomtokea Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, ambaye alipigwa risasi na watu wasiojulikana alipokuwa nyumbani kwake Mjini Dodoma. Aidha Mh Sugu ameliomba Bunge hilo kuwahakikishia usalama hata wanapokuwa maeneo mengine mbalimbali ya nchi. "Kwa sababu ni uwazi dunia yote inajua wabunge wote wa upinzani na watu wengine wenye mawazo mbadala hawako salama, sasa hatuwezi kujadili mipango katika mazingira ambayo siyo salama, 'So Please Don't Shut Me', natoa ushauri, mawazo, maoni yangu kwa serikali, tubishane kwa hoja na siyo Bullet. Subscribe /user/uwazi1 FACEBOOK: https://www.facebook.com/Globalpublis ... TWITTER: https://twitter.com/GlobalHabari Visit https://globalpublishers.co.tz/, Subscribe /c/uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… /c/uwazi1 /c/uwazi1 /c/uwazi1 WEBSITE: https://globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: https://www.facebook.com/Globalpublis ... TWITTER: https://twitter.com/GlobalHabari INSTAGRAM: https://www.instagram.com/globalpubli ...

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 326