Boniface Mwamposa (Bulldozer) ameongea na watanzania kufuatia kifo cha Mhe. Dr. John Pombe Magufuli.
#ariseandshinetanzania #2021mwakawaimani #mwamposalive
@vasudepika4521منذ 3 سنواتAll in all God is in control. Let God stand for us tanzanians 1
@
@rosemarytillya924منذ 3 سنواتTuombe Mungu atupe faraja , utulivu, Amani Upendo kushikamana Adui asipate nafasi Kwa Jina la Yesu Apumzike kwa Amani 7
@
@nuwairapatrick8056منذ 3 سنواتBarikiwa sana mtumishi mwenyez Mungu akupe afya na maisha marefu najua ni kias gan unaumia kwa jinsi mlivokuwa ni pgo kubwa sana kwetu pumzika kwa aman baba 5
@
@capitalism2128منذ 3 سنواتIt's so sad for not only Tz but the whole of but there is a reason why is left us it's because he had done his work on the world and God is taken him to use him as his angel, Magufuri was a God given person, he is gone when we still needed him here. RIP Dr Magufuri ....وسعت1
@
@mpockalberto7841منذ 3 سنواتAmeen baba,tunaamini mkono wa MUNGU uko nasi 7
@
@kelvinfestoمنذ 3 سنواتAmen mungu ni mungu tunamwamini mungu katika hiki kipind kigumu 3
@
@devotharobertkayombo6660منذ 3 سنواتMungu akubariki kwa maneno mazuri baba na mtumishi wa mungu
@
@juliethcosmas1075منذ 3 سنواتMungu wetu wa mbingun baba wa rehema tunaomba umpokee mikononi mwako mtoto wako na umpumzishe mahali salama Amen 3
@
@greisontovagoze2933منذ 3 سنواتHatuna lakusema zaid nikuendlea kumuombea Rais wetu mungu amupkee hukombingn kwaupendo zaid amen 2
@
@suzanamabula2099منذ 3 سنواتAsante mtumishi wa Mungu kwa ujumbe wako mzuri 2
@
@miriamnyanda8806منذ 3 سنواتUbarikiwe Mtumishi wa Mungu maneno yako yametutia moyo sana kwan kipindi hiki kwetu ni kigumu sana kwa kweli 1
@
@richardjohn4058منذ 3 سنواتMwenyezi Mungu atupe uvumilivu kwa kipindi iki kigumu na atupe ujasiri na uvumilivu.lala salama Baba mwendo umemaliza baba Naamin umamaliza mwendo wako salama baba 2
@
@marthamlwafu729منذ 3 سنواتAsante baba kwa kututia moyo, Mungu wetu ni mwaminifu atatutetea 2
@
@mwajumakitano842منذ 3 سنواتAmina,Amina ewe Mungu Baba mpokee mwanao kwa amani, Naiombea family ndugu jamaa na marafiki kushikamana kuwa kitu kimoja wawe na uwezo na faraja id="hidden4" class="buttons"> hasa kwa kipindi hiki kigumu,pole sana Tanzania,pole law watanzania wote. Nipigo kubwa sana,Mungu tubarikie Watanzania. ....وسعت1
@
@epifaniamilinga2848منذ 3 سنواتAsante mtumishi, kwa kututia nguvu,pia tunamshukuru mungu,ameacha msingi imara.
@
@neyreen566منذ 3 سنواتEe Mungu mwingi wa rehema mpokee mja wako mpumzishe kwa amani mbele yako nyuma yetu 11
@
@magrethndambo7684منذ 3 سنواتAmen mtume mungu akubariki asante kwa kutupa maneno yenye nguvu
@
@atanito1327منذ 3 سنواتMtume nisaidie mtihani nilionao leo kwa jina la yesu amen
@
@ericakimande1589منذ 3 سنواتMungu Amuweke pahala pema peponi apumzike kwa Amani
@marymary8313منذ 3 سنواتMimi ni mkenya pole sana watanzania tulikua tunampenda maghufuli kwa kasi yake nzuri lakini mungu amempenda kutuliko , RIP mzee na sisi tuko nyuma yako id="hidden5" class="buttons"> ,kila mtu ako na siku yake ,pole sana Tanzania mungu awapee president kama maghufuli kwa jina la yesu ....وسعت1
@
@nyambogemwita5823منذ 3 سنواتHakika MUNGU ni MUNGU,tusipokubali tutamkosea MUNGU 10
@
@irenealphonse2734منذ 3 سنوات Amen mtumishi tuko pamoja alikua baba muzuri na Sisi wa congomani tuli mpenda sana basi mungu ami fariji kweli 1
@
@hplatnumz5690منذ 3 سنواتAmen mungu akulaze pema peponi mueshimiwa
@
@makenemakene417منذ 3 سنواتTumeumia Sana walitakiwa kutwambia tumuombee Mungu amponye 2
@
@kellyngogo3319منذ 3 سنواتKweli MTUME Mioyo yetu haikuwa tayari kupokea hili. Asante MTUME KWELI TUKUBALI NI KAZI YA MUNGU 7
@
@ariceandshinelivearse5359منذ 3 سنواتMungu naomba bariki Tanzania yete mlezi wetu mwamposa Mungu akubariki 5
@
@reginarichard2654منذ 3 سنواتMungu ailaze roho ya Rais wetu mahala pema peponi na damu ya Yesu imfunike
@
@getrudajacob637منذ 3 سنواتMungu ametoa na mungu ametwaaa jina la bwana lihimidiwe
@
@labnalast7551منذ 3 سنواتAmina ,mwenyezi mungu amwangazie mamwanga wa milele daima 3
@
@elizabethmaiko9039منذ 3 سنواتnuru moamed tumuombe mungu Atufaliji katika kipindiiki kigumu
@
@omegazinthalezi9123منذ 3 سنواتPumzika kwa aman rais wetu mpendwa JOHN POMBE MAGUFULI 6
@
@maryaidan7745منذ 3 سنواتMungu atutie nguvu watanzania tuwe wamoja tuzidishe maombi tumpate Alie Kama yeye jamn 1
@
@veronicamokiwa1254منذ 3 سنواتHatuna la kufanya tunapaswa kusema Mungu asante 1
@
@roseflowerkyara8551منذ 3 سنواتAmen doctor mtume kwa kutufariji watanzania
@
@alphonsinesingirankabo6274منذ 3 سنواتBaba Mukufuli kilakitu alifanya alitumikia Mungu pumuzika kwa furaha baba kifo chako kilishitula duniya nzima 2
@
@jamilaezekiel6174منذ 3 سنواتPolen sana mungu wa mbinguni awainue ktk kipindi hiki kigumu
@
@arthurmwabulambo1201منذ 3 سنواتAmina mtumishi. Umenena vyema juu ya mtumishi wa Mungu raisi Dr John Joseph Magufuri. Kwa kazi kubwa na nzuri kwa taifa hili na mengine aliyofanya NEEMA id="hidden6" class="buttons"> ya MUNGU imfunike huko alikoenda. Na Mungu aturehemu Watanzania wote tuishie ndoto na maono yake makubwa kwa taifa hili. ....وسعت3
@
@deborahelias3931منذ 3 سنواتEeeh mung baba nakuomba San cloudy dugu awe wang daima na milele ktk Jina la yesu kristo Amen
@
@olivaluvanda4524منذ 3 سنواتAmina mtumishi apumzike kwa Amani mbele yetu nyuma yake
@
@deborahelias3931منذ 3 سنواتNimepokea uponyaji ktk Jina la yesu kristo Amen
@
@samkalinatours6540منذ 3 سنواتPumzika kwa amani Rais wetu tutakukumbuka daima. 1
@
@barakamakori3475منذ 3 سنواتMungu iraze roho ya rais magufuri mahari pema ameninasikitika sana nimeumia sana
Naiombea family ndugu jamaa na marafiki kushikamana kuwa kitu kimoja wawe na uwezo na faraja id="hidden4" class="buttons"> hasa kwa kipindi hiki kigumu,pole sana Tanzania,pole law watanzania wote.
Nipigo kubwa sana,Mungu tubarikie Watanzania. ....وسعت 1
JOHN POMBE MAGUFULI 6