المدة الزمنية 3:00

ZITTO KABWE AMUOMBEA MBOWE MSAMAHA,KWA RAIS SAMIA ILI KULETA MUAFAKA WA TAIFA.

بواسطة SAVP TV
199 مشاهدة
0
0
تم نشره في 2021/12/15

Katika Mkutano wa Wadau wa kujadili hali ya Demokrasia ya Vyama vyingi nchini Kiongozi wa ACT-Wazalendo Zitto Kabwe amemuomba Rais Samia kwa kufuata sheria awezeshe Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe aachiwe huru kwa nia ya kuleta muafaka wa kitaifa.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 0