المدة الزمنية 8:7

MAULIDI YA MTUME MUHAMMAD YAFANYIKA KIMKOA WA SINGIDA KATIKA MSKITI WA MITUNDURUNI

بواسطة SINGIDA ONLINE TV
966 مشاهدة
0
48
تم نشره في 2020/03/18

SHEKHER Mkuu wa mkoa wa DODOMA ametangaza kuwa ugonjwa wa CORONA umeshaingia nchini TANZANIA ameya sema hayo katika maulidi ya MTUME MUHAMMAD sw katika msikiti wa MITUNDURUNI na kuwahimiza watu kuwa wasafi muda wote, kunawa mikono kwa maji yanayo chirizika ilikusudi kupunguza kuenea kwa janga hili la kitaifa na dunia nzima.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 2