@chiefkaitaba.m.9466منذ 4 سنواتDah! Ulaya kwa kudharau pesa jamani khaaaa
@
@eneolatukio8493منذ 5 سنواتhahaa, huyu aliekonda hapa ni nani, ni 50 cent? OMG, kamdisi kweli, Montana katisherr!
@
@D-Man.B-Freeمنذ 4 سنوات50 cent mahamani kasema wanakopa magari na hela ili waigize Ustar
@
@rehemahussein748منذ 4 سنواتMbona asitowe sadaka kwa maskini! Kisha washkuru mungu na kutowa maneno machafu! Towa sadaka ndo tujuwe! 4
@
@tonyqersey1732منذ 4 سنوات50 na french wanaugomvi mda mrefu sana aujaanzia hapa Ugov wa 50 na Puffy french akaingilia kwa kutupa chupa nying bia ambazo azija tumika za 50 kwenye dastibin
@
@brizyescoba9006منذ 4 سنواتHuwez shindana na 50 kwenye mitandao atakushinda tu 2
@
@aminaabdallah3644منذ 5 سنواتFrance Montana say alhamdulillah acha na 50 shades hiyo ndio tabi yake you can't change him
@
@kojkoj3353منذ 5 سنواتThis is all about boosting Frenchs album, l hope is not true 4
@
@susanruo8087منذ 5 سنواتWenzetu wenye mihela wana mambo mingi sana
@
@omromr3805منذ 4 سنوات50CENT.ni DUDUBAYA WAMAREKANIWIVU TU 8
@
@samuelibky8989منذ 4 سنواتyani vita hadi raha mahana nasikia pesa tu!
@
@umutoni-roussel5233منذ 4 سنواتCelebrities drama,oh my God help your people
@
@stevenmeshack467منذ 4 سنوات50cent amefulia ana jelus tu kwafrench analolote 1
@
@veronicadaniel1122منذ 5 سنواتHuyo 50 kigagulo wa USA anaroho mbaya na Wivu tu kama haamini hilo gari jipya au la kisasa ameze hicho kitanda alolalia 1
@sadasaid4408منذ 4 سنواتKwani uamuzi wake si yeye akitaka la zamani au jipya
@
@yuliisilva351منذ 5 سنواتMi namdharau 50cent,mwemzie alikuwa anaumwa hoi taabani kapona kaamua kujipongeza angalau ale raha kidogo kwa pesa ambazo hakuwa na uhakika kama atazitumia id="hidden3" class="buttons"> tena japokuwa ni za kwake halafu yeye kachukia!!!! Alipaswa ampongeze siyo kumponda aisee ....وسعت3
@
@coogyelectrislabsمنذ 4 سنواتJunky nanayake ni mvuta unga mtu alie athirika ba nadawa ya kukevya ndio anaitwa junky
@
@NeemaKmussaمنذ 4 سنواتMtu yuko na furaha zake iweje mtu alete kubwa waja huyo 50 CET ndo puuzi
@
@rockyvlogs2214منذ 4 سنواتMimi nimekubali 50 kwanza ubishi umeendelea kwenye gari ila huyu jamaa kaenda mpaka kwa mambo person 2
@
@ringoaskali7625منذ 5 سنواتKaka mimi napenda sana ushindani wa kweli kama huo sasa ata mond na kiba washindane tuone nani anamali nyingi au nani ana magari mazuri ndo tutapata mshindi hapo nani babalaoooo 3
@
@willeydavid2108منذ 5 سنواتSiwakutane wapigane Sio kujibizan mitandaon wankuwa kama mamanzi
@
@augustuss4503منذ 4 سنواتNi utani tu huo na sio ugonvi wala sio wivu.
@michaeltiem5196منذ 4 سنوات50 utani mwingi ila .KATUTUKANA WAAFRICA
@
@amanimanase5794منذ 4 سنواتTatzo wabongo akili ndogo,huu ni utan wa kushikaji wao lkn nyie mnadhani ni ugomvi no ni ushikaji tu 3
@
@ROSEROBERTROBARTمنذ 4 سنواتHuyo 56 ndio hana ishu mwenzake kanunu gari yy kinachomuma nini?mtu mzima hovyo
@
@projestusprosper1626منذ 5 سنواتNa hii ndo tofauti ya SNS na page nyingine
@
@alihijiiddi8977منذ 4 سنواتNAMDHARAU 50 NA MSHINDI NIMONTANA NA ALIOSEMA NI UKWELI ALIKUWA AMPENDE BASDA YA HOSPITALI KUMBE KAWAMJINGA 50 ANAZUNGUMZA MANENO YA KISKULI SKULI
@
@ebbyramadhaniمنذ 4 سنوات50 cent muuni Mtu wa makavu Af ki marekani hata gar ununue kiasi gani />Kama ya zamani unaonekana umeishiwa Kununua gar used marekani haipo iyo ni tabia ya ki africa Af 50 cent anakadiliwa kuwa na dolla 30million French 14 million ....وسعت
@
@queentz8314منذ 5 سنوات50 hakurupukagiii tu kuna kitu nyuma ansubiriaga ujisogeze kwenye kona yake atakayo kupatia hapo hukuripua 1
@
@phillip2553منذ 4 سنواتFrench Montana kaongea uongo kua yeye ndo wakwanza kununua Bugatti New York nzima wakati 50 Alisha kua nayo zamani
@
@kimah9855منذ 5 سنوات50 asilete ujinga hapa kwani anadhani wa Africa wajinga♂️ 2
@
@com_sci123منذ 5 سنواتKindly stop translating for us pliz tunaelewa kizingu tadhali coz it's irritating 1
@
@mohamedshaaban3297منذ 4 سنواتPeople Will Understand When Use Common Sense Insteady Of Mass Media
@
@simulizi2632منذ 4 سنواتJunkie ni drug addict (mteja) sio takataka. Ni junkie na sio junk
@
@tatiya6883منذ 4 سنواتnikajua mambo yajinga yapo kwetu Africa kumbe nako yapo 50 mchokozi tuuuu
@
@benjaminfataki6898منذ 4 سنواتmshindi ni yule aliye jizawadiya zawadi nzuri bila kuongwa,kisha jinga maarufu likataka,kumzarau ili lipate ushindi feki. 50 anatafuta kiki kwanguvu.
@
@fahadsaid1325منذ 5 سنواتMe wala sibishani san wao wanashindana billion 3.4 wakat mm elfu mbili pia sishindanigi
مقاطع الفيديو ذات الصلة على 50 Cent na French Montana wararuana Instagram, ni baada ya 50 kukejeli Bugatti aliyoinunua mwenzie:
Ugov wa 50 na Puffy french akaingilia kwa kutupa chupa nying bia ambazo azija tumika za 50 kwenye dastibin
Mtu wa makavu
Af ki marekani hata gar ununue kiasi gani
/>Kama ya zamani unaonekana umeishiwa
Kununua gar used marekani haipo iyo ni tabia ya ki africa
Af 50 cent anakadiliwa kuwa na dolla 30million
French 14 million ....وسعت