المدة الزمنية 12:49

Walichosema Lema na Mnyika kuhusu mauaji ya Kibiti Bungeni leo

بواسطة Millard Ayo
79 565 مشاهدة
0
320
تم نشره في 2017/06/29

Headlines za mauaji ya raia wasiokuwa na hatia katiaka Wilaya ya Kibiti, Pwani zinaendelea kuzungumziwa ambapo leo June 29, 2017 Wabunge Goodbles Lema na John Mnyika wa CHADEMA kwa nyakati tofauti walisimama Bungeni kuliongelea huku wakiilaumu Serikali kushindwa kulitatua tatizo hilo.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 34
  • @
    @silvesteralex9299منذ 7 سنوات Lema is one of the greatest speaker of our time,and a great politician. 5
  • @
    @missmuunasharifu2323منذ 7 سنوات ukweli unauma, na wanaizungumzia kibit coz wanaumia, wameisha poteza maisha wangap?
  • @
    @veronicawoisso5332منذ 7 سنوات Naamini angekuwa anaishi huko waziri mwenye dhamana ungekuta wameshatafuta suluhisho. Kuna msemo unasema msiba usikie kwa jirani ila si kwako.
  • @
    @amneabdullazizi9889منذ 7 سنوات wanasiasa watu wabaya sana. wanasiasa ndio source ya umwagaji damu popote duniani, naona mnatamani yanayotokea kibiti yatapakae nchi nzima. kwani pakichafuka lema utakaa salama? babako na mamako watakaa salama?
  • @
    @bonnyngowo7567منذ 2 سنوات 2022 bado nguvu ya upinzani naiona na Mlingwa amepotea kabisa kisiasa
  • @
    @joycemashikolo9096منذ 7 سنوات ata kama mna hoja za misingi lakini kauri zenu zinauchochezi wa kuvunja imani. 5
  • @
    @charlesnoafekwalipibayaali2662منذ 4 سنوات Wapi huko katika nchi hii ambako wamesusiana futari?? Hizi siasa zenu muwe wangalifu sana sasa huyu eti ndio mbunge wako hebu umemsikiliza anavyoaema ukimpima id="hidden2" class="buttons"> yupo timamu kweli?? Mwanasiasa au kiongozi makini maneno yake huwa yanaishi na ukiona siku za mbele yanapingana na maelezo yake ya siku za nyuma ujue kiongozi huyo hafai kabisa tena ni wa kuogopwa kama ukoma. ....وسعت 1
  • @
    @charlesmagere9020منذ 7 سنوات hivi lema unaelimu gani.yaan unavyeti tu lakn hakili huna.kanye huko.Mnyika nae kapotea tofauti na 2012
  • @
    @naurumnazaleti6774منذ 7 سنوات ww unaamani gani mkundu kweli yan ww anachochea nini au anachochea kumgonga mama ako nini fala ww