المدة الزمنية 6:20

MAAJABU KABLA YA KUNYONGWA MAREKANI, WAFUNGWA WANAAGIZA VYAKULA HIVI.

بواسطة Global TV Online
569 372 مشاهدة
0
2.1 K
تم نشره في 2020/12/09

MAAJABU! KABLA YA KUNYONGWA MAREKANI, WAFUNGWA WANAAGIZA VYAKULA HIVI.... Wakati leo Dec 9, 2020 ikiwa ni kumbukizi ya siku ambayo Tanzania ilipata uhuru, Rais Magufuli ametangaza msamaha kwa wafungwa waliohukumiwa adhabu ya kunyongwa kubadilishiwa adhabu hiyo nakuhukumiwa kifungo cha maisha. Rais magufuli ametoa msamaha huo huku akisema kuwa hayuko tayari kusaini adhabu yakunyongwa kwa mfungwa yeyote. Ili kuelewa mfumo wa hukumu ya kunyongwa nchini Marekani, mpiga picha Jackie Black ameweka pamoja picha za vyakula vilivyoagizwa na wafungwa kabla ya kunyongwa. Imeandaliwa na Kusomwa na Felista Massae... ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx ⚫️ VISIT AMAZON: https://www.amazon.com/shop/globaltvonline ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506) ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2 ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 157