Kama ulikua miongoni mwa wanaotamani kumsikia au kufahamu shughuli anazofanya kwa sana Rais mstaafu wa awamu ya nne wa Dr. Jakaya Mrisho Kikwete, taarifa ikufikie kwamba AyoTV imemtembelea Msoga na akatuonyesha anachofanya.
@senatormatemu5580منذ 7 سنواتOne of the best video clips ,inspirational move .Congratulations former President JK Kikwete. 13
@
@chipatv677منذ 7 سنواتMstaafu Jk nakukubali sana. Like hapa km unampenda JK 99
@
@mtanzaniamzalendo7001منذ 7 سنواتmzee wa Msoga hongera sanaa,U na busara sanaa wewe Mzee.Mungu akupe maisha marefu 17
@
@canoksancomprehensivelearn7182منذ 7 سنواتcongratulation the former president J.K. I miss you a lot. may god bless you. you encourage us to work hard as farmers. we try to do at our best effort may be one day we can reach the goal. 3
@
@migogelemkude7415منذ 5 سنواتHongera Mzee utazidi kupendwa daima Allah akulinde akulipe ulitutumikia sema ASANTE SANA 12
@
@renaldakamugishazeramulake940منذ 7 سنواتHUYU baba MPOLE, mkalimu, ana huruma, ana subira YAANI anaweza kutembea kwa mguu usiku kucha bila bodigadi, anaweza kulala nje ya nyumba miaka hata 50 id="hidden2" class="buttons"> bila ulinzi. KTK marais waliopita ameacha historia iliyoandikwa kwa wino wa dhahabu. Asilimia 99.9 ya WATANZANIA tulimpenda. Bila kuwasahau wazee watu 2 MZEE Mwinyi na Mkapa mlitumia akili nyingi saaana kutupatia unafuu wa maisha japo asilimia 50! Tunawashukuru, Mwl. Nyerere anayo pia mengi mazuri Aliyotufanyia tunamshukuru, Rais Magufuri hata anayo mengi mazuri tumuombee tusimkatishe tamaa hakuna aliyekamilika. Hata niliowasifia wanazo pia lawama. MUNGU IBARIKI TZ NA WATU WAKE, WABARIKI VIONGOZI WATU. ....وسعت26
@
@mugenyagakala3350منذ 7 سنواتmaisha bora kwa kila MTZ. Hongera jembe. 15
@
@joelp.gideon9003منذ 4 سنواتYou’re my favorite, my Father, and my President ever. I won’t grow weary missing you Daddy. You always touch my personality. you’re the superior one I have never seen. My acknowledgements of you won’t end to death, you’re the Father of kigoma people to date. Praying for success in everything that your hands touch. Miss your sir ! ....وسعت1
@
@gracekulaba7015منذ 6 سنواتHongera sana JK. You will always inspire many of us 8
@
@josephgomalo41منذ 7 سنواتNitajitahidi na mimi nifikie hapo.. asante sana mzee Kikwete .. You practically bring me back to Bagamoyo secondary.. Agriculture class. 10
@
@romanus9700منذ 6 سنواتSafi sana, I am from Kenya and I like Tanzanian leaders from Nyerere, mwinyi makapa, kikwete to magufuli.great leader's. 13
@
@agneserasto9806منذ 5 سنواتAfi sana raid ,wetu mstafu ,kwa kazi njems ya hufugaji ,tutajifunza kutoka kwako , 6
@
@stewartmillanzi7198منذ 7 سنواتHongera sana mkuu.wewe ndo mfano bora wa kiongozi mvumilivu unayejitambua na kufanya mambo kama mtu mzima. Hongera kwa kuwa msuluhishi mzuri. Wenzako id="hidden4" class="buttons"> uliowaacha hawajiwezi.wamebaki kufanyiana visa tu na hata majirani zao wameanza kuwa na utata nao. Ni hatari tupu. Kumbe wewe ulikuwa chaguo la Mungu. Tumekumisi sana Kamanda. ....وسعت3
@
@jimmyjohn8184منذ 6 سنواتSafi sana mzee wetu, vijana tupo nyama tunasubiria baba usafishe njia nasi tupite kwa wepesi. Mungu akufanyie wepesi na kukuhifadhi miaka mingi zaidi 2
@
@alquinmadoro5767منذ 7 سنواتHongera Sana mkuu Wewe ni mfano WA kuigwa ,yan daaah Much respect kwako president 32
@
@abeidmayanga809منذ 7 سنواتMwanasiasa mwenyesiasa zake we miss u mheshimiwa jk 16
@
@moviesandinfotv9933منذ 5 سنواتNaomba Kaz ya kukamua maziwa mzee wetu nakupenda mstaarab sana 7
@
@bertinsayumwe6621منذ 6 سنواتwe miss you our lovely Dad Mungu akupe maisha marefu 1
@
@fransicochunji327منذ 6 سنواتMungu akuinue mheshimiwa,kazi yako imeonekana,ndo maana Tanzania iko hapa. 1
@
@gregorymmasi3442منذ 6 سنواتMiss u sana mzee wetu. Hope one day nitakuona. Busara kubwa. Appreciated sana live long Mzee JM Kikwete. 1
@
@flyhigher5393منذ 7 سنواتmzee huyu ana hekimaaa sabaa,mwnyez mung ampe maisha marefu. Amiiin 24
@
@hosearwechungura7164منذ 7 سنواتTunakupenda sana Mhe. Jk, Obama wa Tanzania! 6
@
@abdallahmashua7234منذ 7 سنواتSafi sana kiongozi,naona unazidi kutuongoza kwenye ujasiriamali 7
@
@nkeshgomegwa1677منذ 4 سنواتDuh nafurahi sana nikikuona baba Mwenyezi Mungu akujaalie maisha marefu
@
@jamesjoseph4460منذ 7 سنواتNimeipenda hiyo mkuu kwakweli ninahitaji elimu hiyo ya ufugaji wa ngombe wa maziwa ,na kilimo.Mungu akubariki elimu hiyo itufikie na huku KAHAMA,asante sana. 1
@
@michaelchongolo1316منذ 7 سنواتnakupenda sana mzeee wangu jk haya ndo maisha yetu 5
@
@NashonMbumba5منذ 7 سنواتHongera rais mstaaf.hiyo n kazi njema 1
@
@adamgeorge5532منذ 7 سنواتnice sana baba your good example for people 2
@
@jumamataro4870منذ 2 سنواتJakaya poa sana watanzania tunakutakia maisha malefu mbele za mungu
@
@kibondeezekiel4459منذ 7 سنواتAYO TV nawakubali Sana. Hiyo Ilikiwa bonge la Interview.our ex-President is so inspirational! 1
@
@marymichelle6280منذ 5 سنواتVery inspiring interview, hongera sana mheshimiwa Raisi mstaafu.
@
@ismailramole1700منذ 7 سنواتDAH.KWELI YOU WILL NEVER KNOW WHAT YOU HAVE UNTIL WHEN YOU MISS IT.NOW NDIO NAJUA UMUHIMU WA MZEE WETU JK.HE WAS A GREAT LEADER WA MFANO AFRICA.GOD BLESS YOU AND YOUR FAMILY. 15
@
@abedkirway3640منذ 5 سنواتMwenyenz Mungu akupe maisha marefu Babaetu tunaekupenda jk Rais Wa mfano duniani
@
@mosesndahani3049منذ 5 سنواتRais wetu unamoyo wa peke Mungu akujalie maisha marefu. 1
@
@halimamlili8803منذ 7 سنواتTumekimis kwakweli baba yetu mung akupe maish malefu 7
@
@maryamsinganomaryamsingano7938منذ 7 سنواتnimtu msitaalabu sana na mcheshi sana mungu akupe umri mrefu 9
@yunushamis4839منذ 5 سنواتsafi sana unahekima, unajua kujibu dah! wanaokutukana mungu anawaona akina msiba walaaniwe kabisa safi sana kwa darasa lako nimejifunza kitu kupitia majibu yako mazur.
@
@enockkitomarys4909منذ 6 سنواتni juhudi nzuri mh jk mungu akupe maisha marefu
@
@fransicochunji327منذ 6 سنواتAsante mheshimiwa kwasomo lakilimo,kuna kitu kikubwa sana,umekifundisha
@
@wazirisaid8326منذ 2 سنواتHongera sana Mheshimiwa JK. Unaonekana kijana na mwenye afya njema kuliko wakati ulee. Hii ni kwasababu huna roho mbaya wala chuki. Wewe ndio baba yetu id="hidden9" class="buttons"> wa Taifa Sasa mzee wetu Mwinyi umri umeshakwenda. Allah azidi kukujalia afya njema wewe na familia yako inshallah. ....وسعت
@
@esperancenathaliمنذ 4 سنواتTanzania kila kiongozi anaye mnae mchagua huwa anajaa tabasamu na nyuso za ukarimu big up sana my country born 1
@
@ramadhaniissa5370منذ 5 سنواتNakukubari kikwete we ninoma nakupenda we ni raisi bora kuliko maraisi wote thenk you Mr plesdent 1
@
@simonmacktauo6521منذ 7 سنواتi wish you were still our president .we miss you so much. so deep in agriculture mpaka unajua tissue culture.congrats sana nazichanga na mimi nije huko kupiga picha tuu. 2
@
@stephanomoses7694منذ 2 سنواتDr. Bna anaish maisha ya raha sana hana hata matambo yan
@
@charlesmartin1448منذ 7 سنواتcongratulations my former president .That was good 2
@
@sanaanimaisha4072منذ 7 سنواتTunakupenda sana mstaafu. Hekima na busara zako hazina kipimo. Wewe ni mfano wa kuigwa. 7
@
@yohananoah6628منذ 7 سنواتmzee hongera sana mh ila tatizo mtaji tu aidia nzuri 2
@
@anthonyyalanda1540منذ 4 سنواتMkuu Kikwete Barikiwa sana,kilimo ni uhai wa maisha ya mwanadamu,hongera baba
@
@janebrighton7312منذ 4 سنواتAfter nyerere your the best too for me
@
@agnesschengula5937منذ 4 سنواتhatataacha kukumbumbuka kwa mema uliyotutendea.mungu akupe maisha marefu mheshimiwa
@
@veronicadaniel1122منذ 5 سنواتNakupenda sana mzee wangu kwa hekima ulonayo
@
@abedymigodela1314منذ 5 سنواتKwakweli kikwete ni mwisho wa maelezo aiseeee Mungu akurinde mh. 1
@
@SensaManzagata-tv7dsقبل 5 أشهرHongera sanaa Rais msitafu wa awamu ya nne nimeisoma sana hiyo click yako ya kilimo na ufugaji uliyoitoa miaka wakati nikiwa form two ukiwa kwenye mazungumzo ya ayo tv
@
@thomasraiton7760منذ 7 سنواتNakukubali sana rais mstaafu kupiga stori na vijana wako namna hii raha sana Mkapa hawezi muda wote yeye ni utandawazi na siasa tu. 1
@
@chachayohana2717منذ 7 سنواتHakika umenihamasisha sana kiongozi, ili mtu ufanikiwe lazima uwe na mawazo mbandala na si kuangalia kwa macho yote kazi moja. Mungu akujaalie afya njema.
مقاطع الفيديو ذات الصلة على EXCLUSIVE: AyoTV yamtembelea Mstaafu Kikwete nanenepa siku hizi, mlikua mnanifuja:
Praying for success in everything that your hands touch.
Miss your sir ! ....وسعت 1
Wewe ni mfano WA kuigwa ,yan daaah
Much respect kwako president
32
Hekima na busara zako hazina kipimo.
Wewe ni mfano wa kuigwa. 7