Kutana na Wahda Mbarak Uzia ( Mwanafunzi Bora namba 8 wa Kike wa Kidato cha Sita kwa Tanzania mwaka 2019) na mwanafunzi bora wa Kwanza Zanzibar
Na Is-haka Uhuru Hemed , Mwanfunzi Bora wa Kiume Zanzibar
Wote wakiwa na matokeo ya Division one ya Point Nne (4) na kupata "A" mbili mbili na "B" moja katika masomo ya PCM , Physics, Chemistry na Advanced Mathematics
الفئة
عرض المزيد
تعليقات - 2
مقاطع الفيديو ذات الصلة على SIRI YA MAFANIKIO YA VINARA WA TANZANIA- ZANZIBAR 2019: