Musalia amesema kwamba kufuatia ongezeko la visa vya
Maambukizi ya corona nchini wizara ya afya imerai kusitishwa kwa
Mikutano ya kisiasa .aidha Musalia amesema kwamba hawakupata
Shinikizo lolote la kummunga mkono mgombea yeyote wa urais
#TaarifaKuu
الفئة
عرض المزيد
تعليقات - 0
مقاطع الفيديو ذات الصلة على Kinara wa ANC Musalia Mudavadi asema kuwa mkutano katika Ikulu ya Mombasa haukuwa wa kisiasa.: